Hatua za Ukuaji: Mtoto wa Miezi 9

Hatua mwanao alizofuzu (watoto wengi wanazifikia)

  • Ataanza kutoa milio inayotokana na mjumuisho wa silabi.
  • Anajivuta asimame na kukaa.
  • Anagonga, tupa na kudondosha vitu.
  • Anajitahidi kushika kijiko unapomlisha.

Hatua za ukuaji zinazojitokeza(nusu ya watoto wanazifikia)

  • Mtoto wako anazunguka kwa kushika vitu kama samani.

Hatua za mapema kabla ya wengine (watoto wachache wanazifikia)

  • Mtoto ataanza kuongea na kunong’ona maneno mengi na kuiga milio na sauti tofauti hasa kipindi hichi anapokaribia kuongea.
  • Kutoa sauti tofauti kama “mamamama” and “bababababa”
  • Anapenda kucheza mchezo wa kujificha “peek-a-boo”

Programu ya AfyaTrack

Programu ya kwanza nchini Tanzania ya kufuatilia maendeleo ya ujauzito na ukuaji wa mtoto kwa lugha ya Kiswahili.