Hatua za Ukuaji: Mtoto wa Miaka 2 na Miezi 9

Hatua mwanao alizofuzu (watoto wengi wanazifikia)

  • Anaweza kutumia choo vizuri na kukojoa kitandani mara kwa mara.
  • Anaelezea na kutaja anachokiona kwenye picha.
  • Analala unono na kusahau uoga wa usiku.

Hatua za ukuaji zinazojitokeza (nusu ya watoto wanazifikia)

  • Anafuzu kuweka kitu sehemu moja.
  • Anaelewa ombi mfano niletee kikombe mezani.
  • Anatafuta kusifiwa na kuruhusiwa kufanya kitu.
  • Anaongea na kueleweka mda mwingi.

 

Hatua za mapema kabla ya wengine (watoto wachache wanazifikia)

  • Kujisaidia mwenyewe mchana.
  • Anaonyesha aina nyingi za hisia

Programu ya AfyaTrack

Programu ya kwanza nchini Tanzania ya kufuatilia maendeleo ya ujauzito na ukuaji wa mtoto kwa lugha ya Kiswahili.