Hatua za Ukuaji: Mtoto wa Miaka 2 na Miezi 8

Hatua mwanao alizofuzu (watoto wengi wanazifikia)

  • Anaweza kuhesabu.
  • Anatofautisha rangi tofauti.
  • Anajifunza kusoma herufi.
  • Anacheza na kujumuika na wazazi.

Hatua za ukuaji zinazojitokeza (nusu ya watoto wanazifikia)

  • Muoga usiku kulala mwenyewe lakini atashinda uoga huu.
  • Anatengeneza marafiki

Hatua za mapema kabla ya wengine (watoto wachache wanazifikia)

  • Muelewa wa hadithi na anaweza kuitikia maongezi.
  • Anaweza kutumia choo mchana na usiku vizuri.

Programu ya AfyaTrack

Programu ya kwanza nchini Tanzania ya kufuatilia maendeleo ya ujauzito na ukuaji wa mtoto kwa lugha ya Kiswahili.