Hatua za Ukuaji: Mtoto wa Miezi 8

Hatua mwanao alizofuzu (watoto wengi wanazifikia)

  • Anakaa bila msaada
  • Anaita mama au baba au wazazi wote.

Hatua za ukuaji zinazojitokeza (nusu ya watoto wanazifikia)

  • Kutambaa vizuri.
  • Kusimama kwa kushika vitu

Hatua za mapema kabla ya wengine (watoto wachache wanazifikia)

  • Ataanza tabia ya kushika kitu kwa nguvu hasa kwa kutumia kidole gumba na kidole cha katikati.
  • Ataonyesha ishara akitaka kitu.
  • Kusimama kwa kushika vitu na kuzunguka sana.

Programu ya AfyaTrack

Programu ya kwanza nchini Tanzania ya kufuatilia maendeleo ya ujauzito na ukuaji wa mtoto kwa lugha ya Kiswahili.