Hatua mwanao alizofuzu (watoto wengi wanazifikia)
- Anavutiwa na mfumo wa vitu.
- Anataka kushika kila kitu na kuweka mdomoni.
- Ameanza kulia kwa sauti nyororo.
- Anajitahidi kupata usikivu wako
- Ataigiza baadhi ya sura utakazomuonyesha
Hatua za ukuaji zinazojitokeza (nusu ya watoto wanazifikia)
- Mwanao ataanza kujiviringisha,kuwa makini usimuache kitandani mwenyewe.
Hatua za mapema kabla ya wengine (watoto wachache wanazifikia)
- Kuota jino lake la kwanza
- Kushika chupa yake ukiwa unamlisha.